Hoja yapitishwa Kiambu kuzitaka taasisi kuajiri 70% ya wenyeji
Published on: December 14, 2017 08:06 (EAT)
Bunge la kaunti ya Kiambu limepitisha hoja ya kuzilazimisha kampuni na taasisi za umma pamoja na za kibinafsi kuajiri asilimia sabini ya wenyeji wa kaunti hiyo.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment