Hoja yapitishwa Kiambu kuzitaka taasisi kuajiri 70% ya wenyeji

Bunge la kaunti ya Kiambu limepitisha hoja ya kuzilazimisha kampuni na taasisi za umma pamoja na za kibinafsi kuajiri asilimia sabini ya wenyeji wa kaunti hiyo.

Tags:

Kiambu County 70% employment

Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories