Hospitali ya Kenyatta yakana kuwatelekeza akina mama wajawazito

Hospitali ya Kenyatta imepuuzilia mbali uchunguzi wa Citizen uliobaini kuwa wadi ya akina mama kujifungua imetelekezwa huku ikiwa na uchafu na akina mama wakilazimika kulala zaidi ya mmoja kwenye kitanda kimoja.
Mkurugenzi mkuu wa hospitali hiyo Lilly Koros anakiri kwamba kuna idadi kubwa sasa ya akina mama wanaojifungulia kwenye hospitali hiyo sababu ya mgomo wa wauguzi wa hospitali za kaunti. Hata hivyo amekana kwamba usimamizi wa hospitali ni wa kutiliwa shaka.

Tags:

Kenyatta National Hospital Lilly Koros

Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories