Hospitali za binafsi kutoa huduma za kujifungua bure
Published on: October 18, 2016 09:57 (EAT)
Ni afueni kwa akina mama wajawazito hii leo baada ya serikali kupitia wizara ya afya kutangaza kwamba huduma ya bure ya kujifungua katika baadhi ya hospitali itasambazwa hadi katika hospitali 2000 za kibinafsi na hospitali 700 za mishonari.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment