Hospitali za binafsi zadinda kuchukua kadi za NHIF
Published on: August 22, 2017 08:36 (EAT)
Baadhi ya wagonjwa wanaogharamia matibabu kwa kutumia kadi ya bima ya matibabu maarufu kama NHIF wanalalama sasa wanahitajika kulipa pesa taslimu kwa sababu NHIF haijalipa hospitali husika. NHIF kwa upande wake wanasema wanafanya mikakati ya kuhakikisha kwamba mradi huo hautumiwi vibaya na walaghai. Faiza Maganga anatupasha.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment