Huduma ya kutuma pesa kupitia simu kwa mitandao tofauti yalainishwa
Published on: January 19, 2018 08:30 (EAT)
Serikali kwa ushirikiano na kampuni za huduma za simu imezindua mpango utakaowezesha wateja kutuma na kupokea pesa kupitia mitandao ya kampuni zote za simu. Kinyume na hali ilivyo hivi sasa mpango huo utarahisha utumaji pesa, sawa na kupunguza gharama ya kupokea na kutuma pesa.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment