Huduma ya kutuma pesa kupitia simu kwa mitandao tofauti yalainishwa

Serikali kwa ushirikiano na kampuni za huduma za simu imezindua mpango utakaowezesha wateja kutuma na kupokea pesa kupitia mitandao ya kampuni zote za simu. Kinyume na hali ilivyo hivi sasa mpango huo utarahisha utumaji pesa, sawa na kupunguza gharama ya kupokea na kutuma pesa.

Tags:

Safaricom Airtel mpesa Telkom Mobile Money transfers

Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories