Idadi ya maafisa waliouawa Lomelo yafikia 4
Published on: November 15, 2017 08:13 (EAT)
Idadi ya maafisa wa polisi waliouawa na majambazi hapo jana walipokuwa wakisafirisha mitihani huko Kapedo imefikia wanne. Maafisa wawili zaidi wa polisi waliaga dunia hii leo huku maiti ya mmoja wao ikipatikana kichakani.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment