Idadi ya maafisa waliouawa Lomelo yafikia 4

Idadi ya maafisa wa polisi waliouawa na majambazi hapo jana walipokuwa wakisafirisha mitihani huko Kapedo imefikia wanne. Maafisa wawili zaidi wa polisi waliaga dunia hii leo huku maiti ya mmoja wao ikipatikana kichakani.

Tags:

Kasarani turkana Kapedo Lomelo

Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories