Idadi ya waliofariki Kilimambogo yaongezeka

Idadi ya waliofariki kwenye ajali ya Kilimambogo kwenye barabara ya Thika kuelekea Garisa imepanda na kufikia 18. Hii ni baada ya manusura kadhaa kufariki wakiwa hospitalini. Inaarifiwa kuwa matatu hiyo ilikuwa imeabiri watu ishirini kwa jumla. Saida Swaleh na maelezo zaidi.

Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories