Idadi ya wanaorandaranda mitaani yaongezeka Kapenguria
Published on: September 04, 2017 08:11 (EAT)
Idadi ya vijana wanaorandaranda mitaani imeongezeka marudufu katika mji wa Kapenguria Kaunti ya Pokot Magharibi. Wadau katika sekta mbali mbali wamelitaka bunge la kaunti kuunda sheria ya kusaidia kudhibiti hali hiyo.
Mwanahabari wetu Collins Shitiabayi ana kina cha taarifa hiyo
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment