Idara ya polisi yapokea Helikopta mpya
Tume ya uchaguzi nchini-IEBC imezindua kituo cha kitaifa cha kujumlisha matokeo ya kura ya urais katika ukumbi wa Bomas, hapa jijini Nairobi. Majaribio ya mfumo wa kujumlisha matokeo yatafanyika Juma lijalo, ili kubaini iwapo kuna dosari zozote. Haya yanajiri huku wizara ya usalama wa kitaifa na kikosi cha polisi wakisisitiza marufuku ya kutotoka nje usiku katika kaunti za Lamu, Tana River na maeneo ya Garissa itaendelea, sawa na operesheni ya kumenyana na majangili na wezi wa mifugo kaunti ya Laikipia.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment