IEBC: Hatuongezi muda wa kuwasajili wapigakura

Umesalia na takriban siku tatu tu! iwapo bado hujasajiliwa kuwa mpigakura, mwenyekiti wa tume ya uchaguzi na mipaka nchini IEBC Wafula Chebukati amesema kwamba shughuli za usajili wa wapigakura itafungwa rasmi tarehe 14 Februari. Lakini kama anavyotueleza mwanahabari wetu Hassan Farah, huenda muda ukaongezwa kwani katiba imeelezea kuwa zoezi la kusajiliwa kwa wapiga kura linafaa kuendelea hadi siku tisini kabla ya siku ya uchaguzi mkuu.

Tags:

IEBC Wafula Chebukati Usajili wa wapigakura

Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories