IEBC imewataka wanasiasa kutoa mabango ya uchaguzi

Wiki mbili baada ya uchaguzi mkuu baadhi ya kuta sehemu nyingi humu nchini zina mabango ya baadhi ya wagombeaji wa viti mbali mbali ambazo bado hazijabanduliwa. Hii ni licha ya serikali kuagiza wagombeaji hao kuondoa mabango yao ili kuwa nadhifu.. Saida Swaleh na taarifa hiyo

Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories