IEBC inachelea kusimamia chaguzi za mchujo
Published on: February 19, 2017 07:40 (EAT)
Tume ya uchaguzi nchini-iebc iko kwenye njia panda, kuhusiana na chaguzi za mchujo za vyama vya kisiasa kabla ya chaguzi mkuu wa mwezi agosti. Ingawa chama cha jubilee kinasisitiza teuzi zake zisimamiwe na iebc, tume ya uchaguzi haionekani kulichangamkia suala hili, huku tetesi zikiibuka kuhusu ufadhili wa chaguzi za mchujo na iwapo tume ina muda wa kutosha kusimamia zoezi hili.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment