IEBC kuandaa uchaguzi kabla ya Oktoba 17

Huenda uchaguzi wa urais ukafanyika tarehe kumi au tarehe kumi na saba mwezi ujao. Haya ni kufuatia mazungumzo kati ya IEBC na wadau ambapo inakisiwa kuwa kura za urais kufanyika katika kipindi hicho kutaruhusu mitahani ya kitaifa kuendelea kama ilivyokuwa imepangwa.

Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories