IEBC yabadilisha tarehe ya uchaguzi kutoka Okt 17

Uchaguzi wa urais utafanyika tarehe ishirini na sita mwezi ujao. Tarehe hiyo imeafikiwa na tume ya uchaguzi nchini baada ya kuchunguza hukumu ya kina iliyotolewa na mahakama ya upeo hapo jana. IEBC inasema kuwa imelazimika kuahirisha uchaguzi ili kuweza kuweka sawa kimikakati yote iliyoratibiwa na mahakama ya upeo ili uchaguzi uwe huru na wa haki.

Tags:

IEBC Wafula Chebukati Ezra Chiloba New Elections date

Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories