IEBC yachapisha ushindi wa Rais Kenyatta kwenye gazeti la serikali
Published on: October 31, 2017 08:07 (EAT)
Tume ya uchaguzi imechapisha uchaguzi wa Rais Uhuru Kenyatta na William Ruto kama rais na naibu rais kwenye gazeti rasmi la serikali na kuashiria kipindi cha wiki moja ambapo wanaopinga uchaguzi huo wanaweza kwenda mahakamani. Haya ni huku tume hiyo ikitangaza kufunguliwa kwa sava zinazoonyesha shughuli zilivyokua kuanzia wakati wa uchaguzi hadi pale matokeo yalipotangazwa.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment