IEBC yakataa kuongeza muda zaidi wa mchujo
Published on: April 23, 2017 09:17 (EAT)
Tume ya uchaguzi na mipaka IEBC imedinda kuongeza muda wa kuendesha kura za mchujo kwa vyama vya kisiasa humu nchini. Mwenyekiti wa tume hiyo Wafula Chebukati amesma kuwa vyama vyote vitatakiwa kukamilisha shughuli hii kwa muda ulioratibiwa ambao ni jumatano wiki hii. Denis Otieno atuarifu zaidi.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment