IEBC yakutana na wagombea urais wa NASA na Jubilee
Published on: October 03, 2017 08:17 (EAT)
Tume ya uchaguzi iko mbioni kutafuta muafaka wa kisiasa ili kuweza kukamilisha matarayisho ya uchaguzi kwa wakati unaofaa. Tume hiyo imekutana na naibu rais William Ruto na kinara wa NASA Raila Odinga hii leo kutatua masuala ibuka na kukwamua mzozo uliopo. Katika mkutano huo, NASA imesisitiza kutekelezwa kwa masharti iliyotoa kwa IEBC huku Jubilee ikiridhishwa na matayarisho japo haijaelezea nia ya kutoa mabadiliko ya kisheria yanayotizamiwa bungeni.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment