IEBC yaongeza muda wa usajili kwa siku mbili
Published on: February 14, 2017 09:18 (EAT)
Mahakama kuu imeiamuru tume ya uchaguzi iebc kuongeza muda wa usajili wa wapiga kura kwa siku mbili badala ya kutamatisha shughuli hiyo leo. Hatua hiyo inafuatia matukio ya foleni ndefu katika vituo vya usajili wa wapiga kura huku baadhi ya wateja wakidai hawakujua shughuli hiyo inaandaliwa wapi, hali inayotoa taswira ya wakenya wasiobabaishwa na lolote hadi siku ya wmisho.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment