IEBC yaonyesha jinsi matokeo yatakavyotolewa
Published on: August 02, 2017 08:22 (EAT)
Tume ya uchaguzi IEBC imefaulu katika majaribio ya mfumo wa kielektroniki wa kuwasilisha matokeo ya uchaguzi kutoka kaunti 47 kote nchini:
Mwenyekiti wa IEBC Wafula Chebukati ameeleza imani kuwa mfumo huo utafaulu siku ya uchaguzi huku kampuni tatu za mawasiliano zikihusishwa kwenye kazi hiyo kwa kutoa huduma ya mitandao.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment