IEBC yapeleka ushahidi mahakamani
Published on: August 24, 2017 09:06 (EAT)
Mawakili wa Rais Uhuru Kenyatta na tume ya uchaguzi nchini-IEBC jioni leo wanatarajiwa kuwasilisha stakabadhi zao katika mahakama ya juu zaidi nchini-yaani supreme court, kujibu kesi ya kupinga matokeo ya uchaguzi wa urais, iliyowasilishwa na kinara wa nasa Raila Odinga.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment