IEBC yapiga marufuku kampeni kwa siku 7 Siaya

Tume ya uchaguzi imesimamisha kwa wiki moja, kampeini kaunti ya Siaya, kufuatia msururu wa vurugu na wingu la taharuki lililotanda kutokana na ushindani mkali kati ya wagombeaji wa ODM na wawaniaji huru. Haya yanajiri huku vurumai ikitibuka kaunti jirani ya Migori, pale wafuasi wa Gavana Okoth Obado na mpinzani wake mkuu Ochilo Oyacko walipomenyana.

Tags:

IEBC SIAYA COUNTY Migori County Okoth Obado Ochilo Ayacko Nicholas Gumbo Cornel Rasanga Campaigns

Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories