IEBC yapiga marufuku kampeni kwa siku 7 Siaya
Published on: July 01, 2017 08:09 (EAT)
Tume ya uchaguzi imesimamisha kwa wiki moja, kampeini kaunti ya Siaya, kufuatia msururu wa vurugu na wingu la taharuki lililotanda kutokana na ushindani mkali kati ya wagombeaji wa ODM na wawaniaji huru. Haya yanajiri huku vurumai ikitibuka kaunti jirani ya Migori, pale wafuasi wa Gavana Okoth Obado na mpinzani wake mkuu Ochilo Oyacko walipomenyana.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment