IEBC yaridhika na uamuzi wa mahakama ya rufaa kuhusu kura za urais
Published on: June 24, 2017 09:23 (EAT)
Tume ya uchaguzi nchini-IEBC haitapinga uamuzi wa mahakama ya rufaa, kuwa matokeo ya urais yatakayotangazwa katika maeneo bunge ni ya mwisho na hayawezi kubadilishwa.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment