Ilani Ya Mgomo Wa Walimu Yaahirishwa
Published on: January 06, 2014 07:02 (EAT)
Muungano wa walimu nchini KNUT umeahirisha ilani ya mgomo iliyokuwa itolewe leo, hadi wafanye mkutano na tume ya kuwaajiri walimu- TSC- hapo kesho. KNUT ilinuiwa kutoa ilani ya mgomo,wa kuitaka serikali iwapandishe vyeo walimu zaidi ya 53,000 wanaostahili kupandishwa daraja.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment