Inadaiwa mti ulikauka baada ya kulaaniwa
Published on: November 05, 2016 09:13 (EAT)
Miaka miwili tangu maafisa wa usalama 21 pamoja na
raia wengine watatu wauawe katika eneo la Kasarani huko Kapedo, eneo hilo sasa limebadilika na kuwa kame. Wazee wa jamii ya Waturkana walifanya tambiko la kulaani kitendo hicho chini ya mti ambao sasa umekauka. Chini ya mti huo, ndipo maafisa wengi waliuawa, na kulingana na wazee hao, kukauka kwa mti huo na nyasi za maeneo yaliyo karibu ni onyo kwa wahalifu.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment