Isaac Ruto ajiunga tena na kambi ya Jubilee

Yamkini wasemao husema kwenye ulingo wa siasa, hamna maadui wala marafiki wa kudumu; maslahi tu. Pia, siasa ni mchezo sio tu mchafu bali karata ya hali ya juu, na hili limedhihirika wazi kila wakati mawimbi ya siasa yanapovuma. Inakuwa mtindo wa kutongozana, tukupe nini, na unatuletea nini. Ndiposa baada ya kubandikana majina, kurushiana cheche za matusi , kuanikana peupe, leo wamekumbatiana kwa raha na bashasha. Nazungumzia uhasama wa kisiasa uliokuwepo kati ya Isaac Ruto na William Samoei Ruto. Ni malumbano yaliyochangia Ruto kujiunga na Nasa baada ya kuunda chama chake cha mashinani, lakini leo kama mwana mpotevu amerejea zizini.

Tags:

raila odinga JUBILEE Peter Munya Isaac Ruto NASA Bomet Wiliam Ruto Chama Cha Mashinani

Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories