Isaack Hassan Asema Yuko Tayari Kungatuka

Mwenyekiti wa tume ya uchaguzi na mipaka nchini Ahmed Isaack Hassan amesema yuko tayari kujitoa kwenye wadhifa wake kwa muda wa siku sitini kadri ya agizo la rais Uhuru Kenyatta wiki iliyopita iwapo jina lake litakuwa kwenye orodha ya wale wanaoshukiwa kushiriki ufisadi. Hassan ameyasema haya leo baada ya kutia sahihi mkataba na shirika la dunia la kusimamia uchaguzi, jijini Nairobi. Alex Kubasu na taarifa hiyo.

Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories