JAA BAHARINI | Bahari yasakamwa na taka eneo la Lamu
Published on: October 07, 2017 08:37 (EAT)
Wadau wanahofia kuwa ifikapo mwaka 2050 huenda kukawa na plastiki zaidi baharini kuliko samaki, huenda utafiti huu ni kweli. Wakazi wanaoishi visiwani Lamu wanaitumia bahari kama jaa lao wakidai kuwa hawana mahali pengine pa kuzitupa. Taka hizo sasa zinaathiri samaki na kuhatarisha afya yao. Karibu katika sehemu ya kwanza ya makala maalumu, jaa baharini yaliyoandaliwa na mwanahabari saida swaleh.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment