Jaguar mashakani
Published on: March 24, 2017 08:35 (EAT)
Mkurugenzi wa mashtaka ya umma Keriako Tobiko sasa anataka uchunguzi kuhusiana na ajali iliyohusisha gari la mwanamuziki Charles Kanyi almaarufu Jaguar kuharakishwa. Hii inafuatia maswali kuhusiana na ni nani haswa aliyekuwa dereva wa gari hilo aina ya Range Rover wakati wa kutokea kwa ajali hiyo.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment