Jaji Maraga ahudhuria ibada katika kanisa la SDA Milimani
Published on: September 02, 2017 08:44 (EAT)
Jaji mkuu David Maraga sasa yupo miongoni mwa watu wanaotajika kuanzia jana kutokana na uamuzi aliotoa pamoja na majaji wenzake wa mahakama ya juu. Na hii leo runinga ya Citizen ilikutana naye akifanya ibada katika kanisa la Seventh Day Adventist kama ilivyo desturi yake .
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment