Jaji Mkuu akanya wanasiasa, vyombo vya habari kujadili kesi ya urais
Published on: August 23, 2017 09:01 (EAT)
Jaji mkuu David Maraga amewaonya wanasiasa na wadau mbali mbali dhidi ya kujadili kesi ya uchaguzi wa urais iliyowasilishwa katika mahakama ya juu zaidi nchini-Supereme Court na kinara wa NASA Raila Odinga. Maraga pia amewataka mawakili wa wahusika kwenye kesi hii kuwatahadharisha wateja wao kuhusu athari za kuzungumzia kesi hiyo nje ya mahakama, au jaribio lolote la kuwashurutisha au kuwashawishi majaji kuamua kesi hiyo kwa njia moja au nyingine.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment