Jamaa ajikata nyeti huko Naivasha

Wakazi kutoka  kituo cha kibiashara cha Karai, kaunti ya Naivasha leo waliamkia tukio lisilo la kawaida baada ya mwanaume mmoja wa umri wa makamo kujikata sehemu zake za siri akitumia kisu  kwa madai kuwa haimfai tena.

Tags:

NAIVASHA nyeti

Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories