Jamaa ajikata nyeti huko Naivasha
Published on: March 30, 2017 08:46 (EAT)
Wakazi kutoka kituo cha kibiashara cha Karai, kaunti ya Naivasha leo waliamkia tukio lisilo la kawaida baada ya mwanaume mmoja wa umri wa makamo kujikata sehemu zake za siri akitumia kisu kwa madai kuwa haimfai tena.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment