Jamaa aliyehusika katika ubomoaji wa nyumba westlands mashakani

Mwanabiashara anayeshukiwa kuongoza ubomozi wa boma moja la wakazi wakongwe katika mtaa wa westalnds hapa nairobi amewachiliwa na mahakam moja hapa Nairobi kwa dhamana ya shilingi laki tatu pesa taslimu.

Francis Nyaga wa kampuni ya Franc Logistics anadaiwa kubomoa boma hiyo akidai kuwa alikuwa amekabidhiwa umiliki wake miezi kadhaa iliopita. Sam gituku na taarifa hiyo.

Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories