Jamaa aliyekatwa sehemu za siri afariki
Published on: January 18, 2018 08:13 (EAT)
Mwanamume mmoja ameaga dunia baada ya kushambuliwa na mkewe aliyezikata sehemu zake za siri mtaani Dandora hapa jijini. Hii hapa taarifa hiyo na nyingine kwenye habari zetu za kaunti jioni ya leo.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment