Jamaa anaswa akiiba katika duka la M-pesa Kirinyaga

Jamaa mmoja anayewania kiti cha muakilshi bunge kaunti ya kirinyaga amefikishwa mbele ya mahakama baada ya kuonekana kupitia picha za cctv akiiba fedha zinazodaiwa kuwa shilingi milioni mbili kutoka kwa duka moja la mpesa.aidha phillip kinyua alikana madai hayo mbele ya hakimu.

Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories