Jambazi la M-pesa lahangaisha wakazi
Published on: January 23, 2017 09:10 (EAT)
Wanabiashara katika eneo la Pipeline hapa jijini Nairobi wameitaka serikali kuwasaidia kumtia mbaroni jambazi sugu anayevamia biashara za M-pesa akitumia bastola. Uchunguzi uliofanywa na Runinga ya Citizen umebaini kuwa watu 6 wamepoteza maisha hadi sasa kutokana na mashambulizi ya jambazi huyo.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment