‘James Bond’ wa Meru atiwa mbaroni kwa kuhatarisha maisha
Published on: January 27, 2017 08:52 (EAT)
Polisi mjini Meru wamemkamata jamaa aliyegonga vichwa vya habari hapo jana kwa kudandia helikopta iliyokuwa imembeba kinara wa Cord Raila Odinga. Jamaa huyo kwa jina Julius Muitari aliwaelezea wanahabari kuwa kitendo chake kilichochewa na mapenzi aliyonayo kwa kiongozi huyo.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment