Jamii na marafiki wamuaga Profesa Calestous Juma
Published on: January 04, 2018 08:11 (EAT)
Jamii na marafiki wakongamana katika kanisa la Holy Familiy Basilica kwenye misa ya wafu ya marehemu mhadhiri mtajika Professa Calestous Juma. Aidha Rais Uhuru Kenyatta alihudhuria misa hiyo na kumtaja marehemu Juma kama mbunifu kwenye masomo ya sayansi na aliyechangia pakubwa kwenye sekta hiyo.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment