Jamii na marafiki wamuaga Profesa Calestous Juma

Jamii na marafiki wakongamana katika kanisa la Holy Familiy Basilica kwenye misa ya wafu ya marehemu mhadhiri mtajika Professa Calestous Juma. Aidha Rais Uhuru Kenyatta alihudhuria misa hiyo na kumtaja marehemu Juma kama mbunifu kwenye masomo ya sayansi na aliyechangia pakubwa kwenye sekta hiyo.

Tags:

Calestous Juma

Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories