Jamii ya Waturkana ina mchakato mpana wa utoaji mahari

Licha ya kuwa na usasa kutokana na elimu, Jamii ya waturkana wanahifadhi na kudumisha mila, tamaduni na destri zao ambazo
walizoachiwa na babu zao.

Kufikia sasa mwanamume aliyeoa lakini hakufanya harusi ya kitamaduni inayoitwa Sapani na kulipa mahari hawezi kuwa na usemi
ama ushawishi wowote katika kikao cha wazee .

Isitoshe iwapo watazaa watoto kama bado hajatoa mahari basi watoto hao hawatakuwa wake bali watakuwa wanamilikiwa na familia ya kina mke hadi pale harusi itakapofanywa.

Mwanahabari wetu wa Turkana Cheboit Emmanuel amefuatilia taratibu ya
harusi ya kiturkana na hii hapa taarifa yake.

Tags:

culture turkana

Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories