Jamii yahangaishwa na matatizo ya ngozi Turkana
Kwa Zaidi ya miaka hamsini tangu tupate uhuru,kuna jamii ambayo haijawahi kusajiliwa katika madaftari ya kumbukumbu kama mojawepo ya makabila yanayopatika na kuishi Turkana licha ya kuwa si Waturkana. Hali hii imesababisha watu kutoka jamii hii kukumbana na matatizo si haba. Hasa wanapotafuta huduma kutoka kwenye taasisi za serikali. Mwanahabari wetu Cheboit Emmanuel amefuatilia jamii hii yenye watu wachache zaidi humu nchini wanaojiita iiimanyang na kuandaa taarifa ifuatayo.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment