Jammeh asalimu amri
Published on: January 21, 2017 08:14 (EAT)
Kiongozi wa Gambia Yahya Jammeh hatimaye ametangaza kuwa ataondoka mamlakani baada ya mataifa ya magharibi ya Afrika yakiwemo Senegal na Nigeria kumshinikiza kung’atuka uongozini au aondolewe kwa lazima.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment