Je, ni kweli wakenya zaidi ya milioni wamepata umeme?

Shirika la kusambaza umeme nchini Kenya Power huenda limewahadaa Wakenya kuwa limesambaza umeme kwa zaidi ya watu milioni moja katika kile kinachoonekana kama njia ya kuwadhihirishia Wakenya kwamba serikali inatimiza ahadi yake ya kusambaza umeme kwa Wakenya milioni moja kila mwaka. Na kama anavyotupasha mwanahabari wetu Salim Swaleh ni kwamba sasa maafisa wakuu wa KPLC wanasutana wenyewe kwa kupitia barua pepe zilizovuja.

Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories