Je, unamjua kelemendi?
Published on: March 22, 2017 09:17 (EAT)
Sio wengi ambao wanaweza kujivunia kuwa na marafiki kwenye ngazi za juu za uongozi ilhali wenyewe wanaishi maisha duni. Clement Kipkoech Koskei almaarufu kilemendi ni rafiki yake naibu Rais William Ruto tangu utotoni. Na japo maisha yao yalichukua mwelekeo tofauti, urafiki wao unazidi kuwa mshiko licha ya maisha tofauti wanayoishi.je, huyu kilemendi ni nani?
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment