Je, wataka kusafiri kwa ndege bila malipo?
Published on: August 31, 2016 08:18 (EAT)
Mtazamaji kuanzia siku ya jumapili wasafiri watapata fursa ya kutumia usafiri wa ndege aina ya helikopta kupitia ushirikiano wa Corporate Helicopters na Uber Kenya ,na ili uweze kujua ni jinsi gani unaweza kuepuka misongamano ya mjjini Mombasa na Nairobi,nampisha Lulu Hassan akueleze jinsi ya kuwa miongoni mwa washind
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment