Jinamizi la usafiri Turkana
Published on: October 01, 2017 08:50 (EAT)
Turkana ni miongoni mwa kaunti kubwa nchini. Kuna sehemu za mashinani ambazo hazina njia nzuri na hivyo shughuli za uchukuzi hutatizwa sana. Emmanuel Cheboit anaangazia changamoto hizo ambazo ni za kipekee katika kaunti hiyo.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment