John Mruttu ashindwa kupata tiketi ya ODM kutetea kiti chake

Mtikisiko wa kisiasa unaendelea kushuhudiwa ndani ya chama cha ODM katika zoezi la mchujo linaloendelea kufanyika katika kaunti mbalimbali nchini. Leo gavana wa Taita Taveta, John Mrutu ameshindwa kupata tiketi ya ODM kutetea kiti chake. Je anakuwa gavana wa kwanza kuachia ngazi?

Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories