Joho ataka ushahidi wa kupewa bilioni 40

Mara nyingi watu walio na virusi vinavyosababisha ukimwi hujifungia na kushindwa kuizungumzia hali yao kutokana na unyanyapaa uliopo hadi sasa katika jami.

Lakini sasa huenda hali hiyo ikapuuziliwa na anyeugua ugonjwa huo pamoja na mwenzake ambaye hana virusi hivo, kwani serikali inatarajiwa kubuni dawa mpya mwezi ujao itakayotumika na watu ambao hawana virusi hivo vya ukimwi ila wako katika hatari ya kupata ugonjwa huo, matahalan kutoka kwa wapenzi wao.

Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories