Joho mashakani
Published on: March 27, 2017 08:58 (EAT)
Vyeti vyake vyazidi kuzua utata, imebainika alifanya KCSE 1993 na kupata D- ,KNEC inatilia shaka cheti chake cha 1992 ,suala hilo laweza kubatilisha shahada zake za vyuo vikuu ,kanuni yasema ili kuingia chuo kikuu sharti uwe na C+
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment