Joto la Chicken-Gate

Aliyekuwa afisa mkuu mtendaji wa tume huru ya uchaguzi na mipaka James Oswago  pamoja na Trevy Oyombra na Hamida Ali Kibwana wamefikishwa mahakamani kuhusiana na madai ya kuhusika katika sakata ya “chicken gate “Oswago aliachiliwa kwa dhamana ya shilingi laki sita  baada ya kukana mashtaka ya kuhusika na sakata hiyo .

Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories