Jubilee, NASA wafanya maombi tofauti
Published on: July 07, 2017 08:27 (EAT)
Rais Uhuru Kenyatta na naibu wake William Ruto hii leo wamehudhuria maombi ya kitaifa na kuapa kudumisha amani katika kampeni zao.
Vigogo wa NASA kwa upande huo walifanya maombi yao katika afisi za Okoa Kenya na kutoa ahadi hiyo hiyo.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment